Mwanadada ni mmoja wa wanachama wa kikundi cha Ladies in Vision, pichani ni watoto na walezi wa kituo cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Kimara chini ya uongozi wa Evans Tegete ambaye ni mwanzilishi wa kituo hicho nia na madhumuni ni kulea watoto walio katika mazingira magumu bila kujali kama ni yatima au la mradi wanaishi katika mazingira magumu na hatarishi.
Kituo kina watoto 70 kwa sasa umri wao ni kuanzia miaka 19 kushuka chini wengi wapo shule za msingi, sekondari na vyuoni.
Changamoto za kituo ni:
1. Ada za shule za watoto
2. Wagonjwa na matibabu yao
3. Vifaa vya shule na hela za nauli
4. Chakula
Malengo ya kituo kwa mwaka 2014:
1. Wanatayarisha album ya kwaya yao ya kituo ili waweze kukusanya milioni 9 za kupata hati miliki za kiwanja cha kituo kilichopo Bagamoyo ukubwa wa eka 50
Mwanadada tuko pamoja na kituo kusupport uuzwaji wa hii album na kuraise hiyo hela ikiwa tayari
Baadhi ya watoto wa kituo na wanachama wa LIV wakijumuika pamoja kusikiliza kwaya ya kituo
Mwanzilishi na kiongozi wa kituo, Evans Tegete akizungumza na watoto na LIV
Amon them are future lawyers, doctors, economists, politicians etc etc and they are very determined in their dreams and visions of life.
Ladies in Vision tukikabidhi baadhi ya vifaa kwa kituo kwa ajili ya msimu wa shule unaonza Januari
Watoto hawa wana tabasamu angavu licha ya majaribu waliyopitia maishani mwao
These are my new 'adopted kids' they didn't have the best of situations and circumstances in their early lives as some are orphans and come from broken homes but in them I have seen the most widest smiles, they are well disciplined and focused in life.
Ladies in Vision - Tawi la Dar es salaam, tuliwawakilisha wenzetu
Pichani tukiwa na dada Vailet na dada Wensa wakiwa katika pozi na LIV
God bless these kids and everyone that looks after them, I was very touched by this visit and I hope it is the first among the many that I will have to this centre. ....
0 comments:
Post a Comment