Social Icons

Wednesday 21 May 2008

Fashion

Lets talk about fashion ladies.....
Kila mtu anavaa na ana personal choice kwa anachoamua kuvaa mwilini. Matters za fashion zinatofautiana kutokana na umri,how you feel, uko wapi, na kona ipi ya dunia. Tukubaliane katika hili warembo kuna fashion nyingine ambazo huwezi kuvaa ukiwa nchi kama Tanzania manake watu watakushangaa na mapigo yako.
Just a word of advice kwa wale walio nchi za ughaibuni jaribu kuinvest kwa aina tofauti za mavazi na accessories ambazo zitakuacha ukiwa confident na umevunjia at the same time ukibahatika kwenda likizo Tanzania. Si kila fashion inafaa katika macho ya jamii ya kitanzania it may seem right uliko lakini bado ikaonekana haifai kwa watz. anyway ni mtazamo tu u still have a choice of ur own.

1 comments: