Je unakumbuka verse zote za wimbo wa taifa......Jikumbushe......
Mungu ibariki Africa
Wabariki Viongozi wake
Hekima Umoja na Amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.
Wabariki Viongozi wake
Hekima Umoja na Amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.
Chorus:
Ibariki Afrika
Ibariki Afrika
Tubariki watoto wa Afrika.
Ibariki Afrika
Ibariki Afrika
Tubariki watoto wa Afrika.
Mungu ibariki Tanzania
Dumisha uhuru na Umoja
Wake kwa Waume na WatotoMungu Ibariki ,
Tanzania na watu wake.
Dumisha uhuru na Umoja
Wake kwa Waume na Watoto
Chorus:
IbarikiTanzania
IbarikiTanzania
Tubariki watoto waTanzania .
Ibariki
Ibariki
Tubariki watoto wa
0 comments:
Post a Comment