Social Icons

Monday, 6 May 2013

WIMBO WA TAIFA.....


Je unakumbuka verse zote za wimbo wa taifa......Jikumbushe......
 
 

 
Mungu ibariki Africa
Wabariki Viongozi wake
Hekima Umoja na Amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.
 
Chorus:
Ibariki Afrika
Ibariki Afrika
Tubariki watoto wa Afrika.
Mungu ibariki Tanzania
Dumisha uhuru na Umoja
Wake kwa Waume na Watoto
Mungu Ibariki,
Tanzania
na watu wake.
 
Chorus:
Ibariki Tanzania
Ibariki Tanzania
Tubariki watoto wa Tanzania.
 
 
 


0 comments:

Post a Comment